![]() |
Aliyekuwa Raisi wa Guina Bissau Malam Bacai Sanha |
Raisi wa Guinea Bissau Malam Bacai Sanha amefariki dunia mapema jumatatu hii, habari hizi zimetolewa na afisa wa balozi wa nchi za Afrika ya Magharibi mjini Paris Ufaransa.
Habari zinadai kuwa Raisi Sanha alikmuwa Paris kwa matibabu ambapo umauti ulimkuta katika hospitali ya kieshi ya Val-de-Grace japo ugonjwa uliopelekea kifo chake haukuwekwa wazi kwa raia.
Sanha alichaguliwa kuwa Raisi mnamo mwezi Septemba 2009, mwezi mmoja baada yav kuuwawa aliyekuwa Raisi JOAO BERNARDO VIEIRA.
Mungu ailaze roho yake mahali pema poeponi
No comments:
Post a Comment